MASHAMBA






Mashamba haya yako maeneo ya Kiwangwa
Yanafaa kwa kilimo na makazi
1.Kilimo cha Mahindi
2.Kilimo cha mananasi
3.Kilimo cha mapapai
4.Kilimo cha pilipili hoho
5.Ufugaji wa Ng'ombe,Mbuzi,Kuku n.k
Na mazao mengineyo yanayofanana na hayo.....
Pia yanafaa kwa ujenzi;
1.Makazi ya kuishi
2.Majengo ya biashara mfano godown
3.Shule
4.Hospitali
5.Vyuo
Na kadhalika
TUNAUZA MASHAMBA YAFUATAYO
Shamba
Maelezo
Bei
Mfumo wa Malipo
Masuguru
Kiwangwa
-
Mashamba yako kilometa 4 toka barabara kuu itokayo Bagamoyo kwenda Msata
-
Kilometa 4.5 toka Msata kutokea Morogoro Road
-
Yanafaa kwa kilimo na makazi
-
Yanafaa kwa ujenzi wa shule,chuo au hospitali
-
Yanafaa kwa ujenzi wa godown
Linauzwa
Kuanzia Eka 5
Malipo kwa Instalments
Kila ekari moja ni
Tsh. 1,000,000
Kianzio : 50%
Lipa 3.33% kila mwezi
Square meter 1 = Tsh. 250
Piga:
+255713565999
+255767565999
Kianzio: 50%
Ya thamani ya manunuzi
Msata
Chalinze
-
Mashamba yako kilometa 4 toka barabara kuu itokayo Bagamoyo kwenda Msata
-
Yanafaa kwa kilimo na makazi
-
Yanafaa kwa ujenzi wa shule,chuo au hospitali
-
Yanafaa kwa ujenzi wa godown
Linauzwa
Kuanzia Eka 5
Malipo kwa Instalments
Kila ekari moja ni
Tsh. 1,000,000
Kianzio : 50%
Lipa 3.33% kila mwezi
Square meter 1 = Tsh. 250
Piga:
+255713565999
+255767565999
Bagamoyo Fukayosi
Liko katika Mji wa Fukayosi karibu kabisa na mradi wa kuchimba gesi wa Bagamoyo.Ni umbali wa mita 800 toka Bagamoyo Mjini na liko umbali wa MITA 800 toka barabara kuu ya Bagamoyo-Msata.Lina ukubwa wa ekari 34
Linauzwa
Rejareja
Tunauza kuanzia ekari 2
Kila ekari moja ni
Tsh. 15,000,000
Malipo ni Cash
Square meter 1 = Tsh. 3,750
Piga:
+255713565999
Bagamoyo Mataya
Liko Mataya,Bagamoyo ...umbali wa kilometa 5 toka barabra ya Dar - Bagamoyo...liko flat na halina mlima wowote.Linafaa kwa makazi,biashara au shule
Linauzwa
Rejareja
Tunauza kuanzia ekari 2
Kila ekari moja ni
Tsh. 15,000,000
Malipo ni Cash na kidogokidogo
Square meter 1 = Tsh. 3,750
Piga:
+255713565999
Mvuti
Ilala Munucipal
Size: Ukubwa
Tofauti tofauti
Mashamba yapo Mvuti katika Manispaa ya Ilala.Mvuti ipo upande wa muelekeo wa Gongolamboto baada ya Chanika...ni kama mwendo wa dakika nne hivi kwa gari toka Chanika au kilometa nne.
TZS: 24,000,000/=
Tunauza kuanzia ekari 1
Kwa Kila ekari moja
Malipo ni Cash
Square meter 1 = Tsh. 6,000
Piga:
+255713565999