top of page

MASHAMBA

16.jpeg
8.jpeg
41.jpeg
48.jpeg
49.jpeg
32.jpeg

Mashamba haya yako maeneo ya Kiwangwa

Yanafaa kwa kilimo na makazi

1.Kilimo cha Mahindi

2.Kilimo cha mananasi

3.Kilimo cha mapapai

4.Kilimo cha pilipili hoho

5.Ufugaji wa Ng'ombe,Mbuzi,Kuku n.k

 Na mazao mengineyo yanayofanana na hayo.....

Pia yanafaa kwa ujenzi;

1.Makazi ya kuishi

2.Majengo ya biashara mfano godown

3.Shule

4.Hospitali

5.Vyuo

 Na kadhalika

TUNAUZA MASHAMBA YAFUATAYO

Shamba

Maelezo

Bei

Mfumo wa Malipo

Masuguru 

Kiwangwa

  • Mashamba yako kilometa 4 toka barabara kuu itokayo Bagamoyo kwenda Msata

  • Kilometa 4.5 toka Msata kutokea Morogoro Road

  • Yanafaa kwa kilimo na makazi

  • Yanafaa kwa ujenzi wa shule,chuo au hospitali

  • Yanafaa kwa ujenzi wa godown

Linauzwa

Kuanzia Eka 5

Malipo kwa Instalments

Kila ekari moja ni

Tsh. 1,000,000

Kianzio : 50%

Lipa 3.33% kila mwezi

Square meter 1 = Tsh. 250

Piga:

+255713565999

+255767565999

Kianzio: 50%

Ya thamani ya manunuzi

Msata

Chalinze

  • Mashamba yako kilometa 4 toka barabara kuu itokayo Bagamoyo kwenda Msata

  • Yanafaa kwa kilimo na makazi

  • Yanafaa kwa ujenzi wa shule,chuo au hospitali

  • Yanafaa kwa ujenzi wa godown

Linauzwa

Kuanzia Eka 5

Malipo kwa Instalments

Kila ekari moja ni

Tsh. 1,000,000

Kianzio : 50%

Lipa 3.33% kila mwezi

Square meter 1 = Tsh. 250

Piga:

+255713565999

+255767565999

Bagamoyo Fukayosi

Liko katika Mji wa Fukayosi karibu kabisa na mradi wa kuchimba gesi wa Bagamoyo.Ni umbali wa mita 800 toka Bagamoyo Mjini na liko umbali wa MITA 800 toka barabara kuu ya Bagamoyo-Msata.Lina ukubwa wa ekari 34

Linauzwa

Rejareja

Tunauza kuanzia ekari 2

Kila ekari moja ni

Tsh. 15,000,000

Malipo ni Cash

Square meter 1 = Tsh. 3,750

Piga:

+255713565999

Bagamoyo Mataya

Liko Mataya,Bagamoyo ...umbali wa kilometa 5 toka barabra ya Dar - Bagamoyo...liko flat na halina mlima wowote.Linafaa kwa makazi,biashara au shule

Linauzwa

Rejareja

Tunauza kuanzia ekari 2

Kila ekari moja ni

Tsh. 15,000,000

Malipo ni Cash na kidogokidogo

Square meter 1 = Tsh. 3,750

Piga:

+255713565999

Kigamboni 

Kimbiji

Mashamba yapo Kigamboni Kimbiji

Kila ekari moja ni

Tsh. 15,000,000

Tunauza kuanzia ekari 1

Square meter 1 = Tsh. 3,750

Malipo ni Cash na kidogokidogo

Piga:

+255713565999

Mvuti

Ilala Munucipal

Size: Ukubwa

Tofauti tofauti

Mashamba yapo Mvuti katika Manispaa ya Ilala.Mvuti ipo upande wa muelekeo wa Gongolamboto baada ya Chanika...ni kama mwendo wa dakika nne hivi kwa gari toka Chanika au kilometa nne.

TZS: 24,000,000/=

Tunauza kuanzia ekari 1

Kwa Kila ekari moja

Malipo ni Cash

Square meter 1 = Tsh. 6,000

Piga:

+255713565999

Kiluvya 

Makurunge

Mashamba yapo Kiluvya Makurunge 

jirani na kwa Masista

Kila ekari moja ni

Tsh. 32,000,000

Tunauza kuanzia ekari 1

Square meter 1 = Tsh. 8,000

Malipo ni Cash na kidogokidogo

Piga:

+255713565999

bottom of page