top of page

KILUVYA MPYA

Viwanja Kiluvya Mpya

Mahali Ilipo: Kiluvya(Kwa Sumaye) ,Mtaa wa Makurunge

Maelezo: - Huduma za jamii ziko karibu
                  - Gari inafika hadi site

                  - Barabara za mtaani zinafikia kila kiwanja

                  - Eneo ni tambarare kabisa.
                

BEI: Tsh. 8,000 kwa sqm(Milioni 6.49 unapata kiwanja )

             -Ukubwa kuanzia sqm 649

             -Kiwanja cha bei ya chini kabisa ni Milioni 6.49

             -Unaweza kulipa kwa instalments mwaka mmoja  hadi miaka sita.

MFUMO WA MALIPO:

                - Unaweza kulipia kiwanja kama ifuatavyo:

              1.Ukilipa hela yote kwa mkupuo mmoja bei inakua Tsh 8,000 kwa sqm.

              2.Lipa kidogokidogo wa installments za kila mwezi ambapo

                 (a) Unaanza na 5% kila mwezi kuanzia mwezi wa 1 hadi wa 6,kisha                               mwezi wa 7 hadi wa 12 unalipa 3.33% kila mwezi na mwisho 50%                             iliyobakia kwa muda uliobakia kutegemeana na muda wa malipo.

 

                 (b) Ukianza na 3% mwezi wa kwanza hadi wa 18 na kisha 46% kwa muda 

                       uliobakia kutegemea muda wa malipo uliochagua.

 

 

 

Kwa maelezo zaidi piga:

                             0713565999  / 0767565999

                             0712780906 / 0769425161

                             0713940188

               

Ramani ya Viwanja

BLOCK I

Plot No. 317 - 332

BLOCK I.jpg
BLOCK VIII

Plot No. 234 - 256

BLOCK VIII.jpg

Picha za Eneo (Site)

bottom of page