Miradi ya Kiluvya
Mahali: Kiluvya Madukani mtaa wa Makurunge
Unaingilia upande wa kushoto kutokea Dar es Salaam na upande wa kulia kutokea Kibaha Maili Moja.
SWALI:Umbali gani toka Morogoro Road?
JIBU: Kuanzia Kilometa sita toka Morogoro Road
SWALI:Viwanja Kiluvya ni size gani?
JIBU: Size tofauti tofauti kama ifuatavyo;
KILUVYA 2 EXTENSION 1 : BEI Kuanzia Tsh 1,500,000/-
Ni kuanzia sqm 150 kama ifuatavyo:
Mita 15 kwa 10 = Sqm 150 = Tsh 1,500,000
Mita 17 kwa 10 = Sqm 170 = Tsh 1,700,000
Mita 17 kwa 16 = Sqm 272 = Tsh 2,720,000
NA KUENDELEA
KILUVYA 2 EXTENSION 2 : BEI Kuanzia Tsh 1,500,000/-
Ni kuanzia sqm 150 kama ifuatavyo:
Mita 15 kwa 10 = Sqm 150 = Tsh 1,500,000
Mita 20 kwa 10 = Sqm 200 = Tsh 2,000,000
Mita 20 kwa 20 = Sqm 400 = Tsh 4,000,000
NA KUENDELEA
KILUVYA SHULE A: BEI NI TSH 10,000 kwa sqm
Ni kuanzia sqm 200 kama ifuatavyo:
Mita 20 kwa 10 = Sqm 200 = Tsh 2,000,000
Mita 20 kwa 15 = Sqm 300 = Tsh 3,000,000
Mita 20 kwa 20 = Sqm 400 = Tsh 4,000,000
Mita 20 kwa 25 = Sqm 500 = Tsh 5,000,000
Mita 30 kwa 20 = Sqm 600 = Tsh 6,000,000
KILUVYA SHULE B: BEI NI TSH 12,000 kwa sqm
Ni kuanzia sqm 319 kama ifuatavyo:
Sqm 319 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS3,828,000
Sqm 356 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS4,272,000
Sqm 395 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS4,740,000
Sqm 411 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS4,932,000
Sqm 431 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,172,000
Sqm 432 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,184,000
Sqm 439 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,268,000
Sqm 441 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,292,000
Sqm 442 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,304,000
Sqm 443 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,316,000
Sqm 444 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,328,000
Sqm 447 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,364,000
Sqm 448 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,376,000
Sqm 450 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,400,000
Sqm 460 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,520,000
Sqm 470 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,640,000
Sqm 494 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS5,928,000
Sqm 573 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS6,876,000
Sqm 694 kwa TZS12,000 kwa sqm = TZS8,328,000
UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO KAMA IFUATAVYO;
Mfumo wa Malipo:
Mfumo wa Malipo
Kiwanja kisichozidi 1,500,000
Unaanza na Nusu iliyobakia ndani ya miezi mitatu(3)
Kiwanja 1,500,001 hadi 3,000,000
Unaanza na Nusu iliyobakia ndani ya miezi sita(6)
Kiwanja cha 3,000,001 hadi 5,000,000
Unaanza na Nusu iliyobakia ndani ya miezi nane(8)
Kiwanja kinachozidi 5,000,000
Unaanza na Nusu iliyobakia ndani ya mwaka mmoja
WASILIANA NASI KWA:
SIMU: 0713565999 / 0712780906
0767565999 / 0769425161

