top of page

KILUVYA  3

Viwanja Kiluvya,Mtaa wa Makurunge

Mahali Ilipo: Kiluvya(Kwa Sumaye) ,Mtaa wa Makurunge

Maelezo: - Eneo lina Maji na Umeme hauko mbali na site
                  - Gari inafika hadi site

                  - Barabara za mtaani zinafikia kila kiwanja

                  - Eneo ni tambarare kabisa.
                

BEI: Kuanzia Tsh. 1,500,000 (Milioni 1.5) hadi Tsh. 6,000,000 (Milioni 6)
           

MFUMO WA MALIPO:

             -Ukilipa yote kwa mkupuo mmoja unapata punguzo 10%

             -Unaweza kulipa kidogokidogo

             -Kiwanja cha milioni 1.5 unatakiwa kuanza na nusi kisha deni lilipwe

               ndani ya miezi mitatu.

             -Kiwanja cha milioni 3 unatakiwa kuanza na nusu kisha deni lilipwe

               ndani ya miezi sita.

             -Kiwanja cha milioni 5 na zaidi,ukianza na 30% iliyobakia italipwa      

              ndani ya miezi minane na ukianza na 50% iliyobakia italipwa ndani

              ya mwaka mmoja.  

Kwa maelezo zaidi piga:

                             0713565999  / 0767565999

                             0712780906 / 0769425161

                             0713940188

               

Ramani ya Viwanja

KILUVYA 3 FULL MAP-Ads Version-17012019.
bottom of page