KILUVYA 1C
Mahali: Kiluvya Madukani mtaa wa Makurunge
Unaingilia uande wa kushoto kutokea Dar es Salaam na upande wa kulia kutokea Kibaha Maili Moja.
SWALI:Umbali gani toka Morogoro Road?
JIBU: Kilometa nane toka Morogoro Road
SWALI:Viwanja Kiluvya ni size gani?
JIBU: Kuanzia sqm 300 na kuendelea
1.KILUVYA 1C
Punguzo la bei toka Tsh 10,000 kwa sqm hadi Tsh 8,000 kwa sqm
Ni kuanzia sqm 300 kama ifuatavyo:
Mita 20 kwa 15 (sqm 300) Tsh 2,400,000/=
Mita 20 kwa 20 (sqm 400) Tsh 3,200,000/=
Mita 20 kwa 25 (sqm 500) Tsh 4,000,000/=
Mita 20 kwa 30 (sqm 600) Tsh 4,800,000/=
Mita 20 kwa 35 (sqm 700) Tsh 5,600,000/=
Mita 20 kwa 40 (sqm 800) Tsh 6,400,000/=
Mita 30 kwa 30 (sqm 900) Tsh 7,200,000/=
UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO KAMA IFUATAVYO;
Kiwanja cha milioni 1 hadi 3:
Unaanza na nusu na iliyobakia ndani ya miezi mitatu
Kiwanja cha milioni 3.1 hadi 4.0
Unaanza na nusu iliyobakia ndani ya miezi mitano.
Kiwanja cha milioni 4.1 hadi 4.9
Ukianza na 30% utalipa ndani ya miezi 6
Ukianza na 50% utalipa ndani ya miezi 8
Kiwanja cha milioni 5 na zaidi
Ukianza na 30% iliyobakia unalipa ndani ya miezi minane(8)
Ukianza na 50% iliyobakia unailipa ndani ya mwaka
Ramani ya Site
