top of page
Viwanja vya Fukayosi
Mradi wa Fukayosi upo katika Mji wa Fukayosi takribani kilometa 30 toka Bagamoyo Mjini kuelekea Msata.
Umbali toka barabara yalami ya Bagamoyo - Msata ni mita 500 tu karibu na Mnada wa Fukayosi.
Bei kwa sqm ni Tsh 5,000/- tu
Ukubwa wa viwanja ni kuanzia sqm 243 sawa na Tsh 1,215,000/-
Ramani ya Viwanja
CHAGUA KIWANJA HAPA
Jinsi ya Kuchagua:
Iwapo unataka kuchagua kiwanja angalia size yake(kwa square meter) chini ya column ya AREA kisha ukipendezwa na ukubwa husika nenda kulia angalia BUTTON inayohusika kisha bonyeza
Usichague Kiwanja chenye rangi NYEKUNDU wala NJANO
Kununua bonyeza NUNUA
Kufanya BOOKING bonyeza BOOK
Kurudisha kiwanja ulichokosea kuchagua bonyeza BADILI CHAGUO
bottom of page