CHANIKA ZINGIZIWA
Viwanja Chanika-Zingiziwa
Mahali Ilipo: Mtaa wa Zingizwa,Kata ya Chanika,Wilaya ya Ilala
Maelezo: - Eneo lina Maji na Umeme uko mita 800 toka site
- Gari inafika hadi site
- Barabara za mtaani zinafikia kila kiwanja
- Eneo ni lina mandhari ya kuvutia.
BEI: Tsh. 12,000 kwa sqm (Milioni 3.2 unapata kiwanja)
-Kiwanja cha bei ya chini kabisa ni Milioni 3.2
-Unaweza kulipa kwa instalments miezi 8 hadi mwaka mmoja
MFUMO WA MALIPO:
- Unaweza kulipia kiwanja kama ifuatavyo:
1.Lipa hela yote kwa mkupuo mmoja na upewe punguzo la 10%
2.Lipa kidogokidogo wa installments za kila mwezi ambapo
(a) Ukianza na 30% deni linalobakia utalilipa ndani ya miezi 8
(b) Ukianza na 50% deni linalobakia utalilipa ndani ya
miezi 12 (yaani mwaka mmoja)
Kwa maelezo zaidi piga:
0713565999 / 0767565999
0712780906 / 0769425161
0713940188
Ramani ya Viwanja
Picha za Eneo (Site)