top of page

KUHUSU BIDHAA ZETU

Majibu ya Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu bidhaa Zetu

SWALI:na viwanja wapi na wapi?

JIBU: Kiluvya,Pugu,Chanika na Mvuti

 

            MRADI WA  KILUVYA:

SWALI:Kiluvya sehemu gani?

JIBU: Kiluvya Madukani mtaa wa Makurunge

 

SWALI:Umbali gani toka Morogoro Road?

JIBU: Kilometa nane toka Morogoro Road

 

SWALI:Viwanja Kiluvya ni size gani?

JIBU: Vilivyopo

                 1.KILUVYA 1

                Bei ni Tsh 10,000 kwa sqm

                 Ni kuanzia sqm 400 kama ifuatavyo:

                 Milioni 3.0 kwa sqm 300
                Size:Mita 20 kwa 15

               Milioni 4.0 kwa sqm 400
               Size:Mita 20 kwa 20

               Milioni 5.0 kwa sqm 500
               Size:Mita 20 kwa 25

               Milioni 6.0 kwa sqm 600
               Size:Mita 30 kwa 20

 

             UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO KAMA IFUATAVYO;

            Kiwanja cha milioni 1 hadi 2:
            Unaanza na nusu na iliyobakia ndani ya miezi mitatu 

            Kiwanja cha milioni 2.5 hadi 3
            Unaanza na nusu iliyobakia ndani ya miezi mitano.

            Kiwanja cha milioni 3.5 hadi 4.5
            Ukianza na 30% utalipa ndani ya miezi 6
            Ukianza na 50% utalipa ndani ya miezi 8

            Kiwanja cha milioni 5 na zaidi
            Ukianza na 30% iliyobakia unalipa ndani ya miezi minane(8) 
            Ukianza na 50% iliyobakia unailipa ndani ya mwaka mmoja.



                2.KILUVYA 2

                Vimeisha na mradi umefungwa

 

               3.KILUVYA 3

              Milioni 3 kwa sqm 400
              Size:Mita 20 kwa 20

              Milioni 4 kwa sqm 500
              Size:Mita 20 kwa 25

                 Milioni 5 kwa sqm 600              

                 Size:Mita 30 kwa 20

        

             UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO KAMA IFUATAVYO;

            Kiwanja cha milioni 1 hadi 2:
            Unaanza na nusu na iliyobakia ndani ya miezi mitatu 

            Kiwanja cha milioni 2.5 hadi 3
            Unaanza na nusu iliyobakia ndani ya miezi mitano.

            Kiwanja cha milioni 3.5 hadi 4.5
            Ukianza na 30% utalipa ndani ya miezi 6
            Ukianza na 50% utalipa ndani ya miezi 8

            Kiwanja cha milioni 5 na zaidi
            Ukianza na 30% iliyobakia unalipa ndani ya miezi minane(8) 
            Ukianza na 50% iliyobakia unailipa ndani ya mwaka mmoja.

              4.KILUVYA MPYA

          

              Kuanzia sqm 600

      

              MKOPO HADI MIAKA 6

Size: Kuanzia sm 600 na kuendelea

Bei: Kuanzia milioni 10

Status: Vimepimwa na utapata hatimiliki.

Mfumo wa Malipo: Unaweza kulipia hadi miaka 6

     Ukilipa cash bei ni Tsh. 8,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Mwaka Mmoja  bei ni Tsh. 9,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Miaka Miwili  bei ni Tsh. 10,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Miaka Mitatu  bei ni Tsh. 11,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Miaka Minne  bei ni Tsh. 12,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Miaka Mitano  bei ni Tsh. 13,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Miaka Sita  bei ni Tsh. 14,000 kwa sqm,

Kutembelea: 

                       Kila siku saa nne asubuhi na Jumapili saa saba mchana

                       Makutano ni Mbezi Mwisho stand

SWALI: Naweza kulipa kidogokidogo?

JIBU: Ndiyo…..mfumo wa malipo ni kama ifuatavyo:

             UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO KAMA IFUATAVYO;

            Kiwanja cha milioni 1 hadi 2:
            Unaanza na nusu na iliyobakia ndani ya miezi mitatu 

            Kiwanja cha milioni 2.5 hadi 3
            Unaanza na nusu iliyobakia ndani ya miezi mitano.

            Kiwanja cha milioni 3.5 hadi 4.5
            Ukianza na 30% utalipa ndani ya miezi 6
            Ukianza na 50% utalipa ndani ya miezi 8

            Kiwanja cha milioni 5 na zaidi
            Ukianza na 30% iliyobakia unalipa ndani ya miezi minane(8) 
            Ukianza na 50% iliyobakia unailipa ndani ya mwaka mmoja.

 

SWALI:Umeme umefika?

JIBU:Kiluvya 1 umeme upo na Kiluvya 3 hapo mbali na site

 

SWALI: Siku gani za kwenda site Kiluvya?

JIBU: Kila siku saa nne asubuhi isipokua Jumapili ni saa saba mchana.Unakutana na wahudumu pale Mbezi Mwisho stand.

SWALI:Una viwanja wapi na wapi?

JIBU: Kiluvya,Pugu,Chanika na Mvuti

 

                 1.KILUVYA 1C

                Bei ni Tsh 10,000 kwa sqm

                 Ni kuanzia sqm 400 kama ifuatavyo:

                 Milioni 3.0 kwa sqm 300
                Size:Mita 20 kwa 15

               Milioni 4.0 kwa sqm 400
               Size:Mita 20 kwa 20

               Milioni 5.0 kwa sqm 500
               Size:Mita 20 kwa 25

               Milioni 6.0 kwa sqm 600
               Size:Mita 30 kwa 20

 

             UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO KAMA IFUATAVYO;

            Kiwanja cha milioni 1 hadi 2:
            Unaanza na nusu na iliyobakia ndani ya miezi mitatu 

            Kiwanja cha milioni 2.5 hadi 3
            Unaanza na nusu iliyobakia ndani ya miezi mitano.

            Kiwanja cha milioni 3.5 hadi 4.5
            Ukianza na 30% utalipa ndani ya miezi 6
            Ukianza na 50% utalipa ndani ya miezi 8

            Kiwanja cha milioni 5 na zaidi
            Ukianza na 30% iliyobakia unalipa ndani ya miezi minane(8) 
            Ukianza na 50% iliyobakia unailipa ndani ya mwaka mmoja.

                MRADI WA PUGU

SWALI:Viwanja viko Pugu sehemu gani?

JIBU: Viko Pugu Kinyamwezi,eneo la Kimani Juu baada ya Kipawa mpya.Ukitoka Pugu Kajiungeni kama unaelekea Chanika shuka kituoa kinachofuata kinachoitwa Kwa Rais(Rahisi) au Kwa Pinda,ingia upande wa kulia fuata reli hadi uvuke daraja la treni.

   -Ni takribani kilometa 4 toka barabara ya lami.

SWALI:Pugu viwanja bei gani?

JIBU:Sqm moja ni Tsh 16,000 na vipo kuanzia vya milioni 1.8

           Kiwanja cha mita 20 kwa 20 ni milioni 4.8

           Vipo kuanzia sqm 200 hadi  sqm 1000

 

SWALI:Umeme umefika?

JIBU:Ndiyo

 

SWALI: Kutembelea Pugu ni siku gani?

JIBU: Jumatano,Jumamosi na Jumapili

 

                MRADI WA CHANIKA:

SWALI:Viwanja viko Chanika sehemu gani?

JIBU:Chanika Zingiziwa

 

SWALI: Umbali gani toka barabara ya lami?

JIBU:Viko Kilomet nne toka barabara ya lami ya Chanika-Mvuti

 

SWALI:Bei gani?

JIBU: Bei kwa sqm ni Tsh 9,000 na viko kuanzia sqm 499 sawa na milioni 4.4

SWALI:Zingiziwa ni umbali gani toka Chanika Mjini?

 JIBU:Takribani kilometa 6 toka Chanika Mjini

SWALI: Huduma za kijamii zipo?

JIBU:Si mbali toka dispensary ya Zingiziwa na pia ni mita 800 toka Zingiziwa Primary na Secondary School

 

SWALI:Umeme umefika?

JIBU:Umeme uko mita 800 tu toka site

 

SWALI:Siku gani kutembelea site?

JIBU: Jumatano,Jumamosi na Jumapili

             MRADI WA MVUTI

 

SWALI: Mvuti iko wapi?

JIBU: Mvuti iko baada ya Chanika...kaka kilometa 6 hivi toka Chanika Mjini

 

SWALI:Viwanja viko sehemu/mtaa gani?

JIBU:Mtaa wa Kiboga

 

SWALI:Mvuti ni bei gani?

JIBU: Bei kuanzia milioni 1

 

SWALI:Inalipwwa namna gani?

JIBU:Ukianza na nusu iliyobakia ni ndani ya miei mitatu

 

SWALI:Umbali gani toka Mvuti Mjini?

JIBU:Takribani kilometa 4 toka Mvuti Mjini

 

SWALI:Huduma Zipo?

JIBU:Huduma zote zipo kama shule na Afya isipokua umeme.

          KIGAMBONI

SWALI: Kigamboni viwanja viko wapi?

JIBU:Viwanja viko Mwasonga,njiapanda ya Tundwi-Songani

          Mwasonga iko kilometa 15 toka Kibada

          Viwanja viko takribani kilometa 6 toka Mwasonga Mjini na kilometa 3 tu toka beach.

Size: Kuanzia sm 500 na kuendelea

Bei: Kuanzia milioni 10

Status: Vimepimwa na utapata hatimiliki.

Mfumo wa Malipo: Unaweza kulipia hadi miaka 6

     Ukilipa cash bei ni Tsh. 8,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Mwaka Mmoja  bei ni Tsh. 9,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Miaka Miwili  bei ni Tsh. 10,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Miaka Mitatu  bei ni Tsh. 11,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Miaka Minne  bei ni Tsh. 12,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Miaka Mitano  bei ni Tsh. 13,000 kwa sqm,

     Ukilipa kwa Miaka Sita  bei ni Tsh. 14,000 kwa sqm,

Kutembelea: 

                       Kila siku ya Jumamosi saa sita mchana.

                       Makutano ni Kibada Duka la Dawa

                       

bottom of page